Wednesday, April 25, 2012

EXTRA BONGO WAFANYA KUFURU MEEDA SINZA JIJINI DAR

Wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa onyesho la kila jumamosi katika Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam.

Mwimbaji Redo Mauzo akiimba wakati wa shoo hiyo.

Wacheza shoo wa Bendi ya Extra Bongo wakicheza wakati wa onyesho la kila jumamosi katika Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar es Salaam.

 Mwalimu wa walimu, Banza Stone akiwa kazini.

Hoseah Bass akilichalaza gitaa lake.

No comments:

Post a Comment