Monday, March 26, 2012

Wanamichezo wa Klabu za Michezo za Namanga, Biafra, Kunduchi Kwanza na Kawe wapimwa Afya

Mwenyekiti wa Namanga Sports Club, David Mwaka akiongoza mamia ya wanamichezo katika kutoa damu ili kupimwa Saratani ya Tezi Dume wakati Kituo cha Kukuza Haki za Binadamu (CHRP), kilipotoa elimu na vipimo bure kwa wanamichezo wa Klabu hiyo na klabu za Biafra, Kunduchi Kwanza na Kawe ikiwa ni katika muendelezo wa Kampeni ya Tanzania 50 Plus. Anayemtoa damu ni Mwanasayansi wa Dawa za Tiba, Daniel Ligola kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi ya Tiba Muhimbili (MUHAS).

Makamu Mwenyekiti wa Namanga Sports Club, Olestick Lembo 'Mjomba Ole' akishiriki zoezi hilo.

Mhazini wa Namanga Sports Club, Michael Juma 'Mo-Power' akishiriki zoezi hilo.

Mdau wa Namanga

Mshauri wa Masuala ya Habari na Mawasiliano wa Namanga Sports Club, John Badi  akishiriki zoezi hilo.

Mjomba akiisikilizia sindano.....

Mdau 'Magoma Moto' naye alishiriki.

Mwenyekiti David Mwaka akipata ufafanuzi wa jambo kutoka kwa mtaalamu.

Mzee wa Samaki samaki naye alishiriki.

No comments:

Post a Comment