![]() |
Baadhi ya viongozi wa Klabu ya
Biafra Sports na Klabu ya Namanga Sports, wakitosti kama ishara ya kuukaribisha
mwaka mpya.
|

www.namangasportsclub.blogspot.com E-Mail : namangafamily@gmail.com
![]() |
Baadhi ya viongozi wa Klabu ya
Biafra Sports na Klabu ya Namanga Sports, wakitosti kama ishara ya kuukaribisha
mwaka mpya.
|
![]() |
Msasani Jogging wakiongoza Jogging. |
![]() |
Mgeni rasmi Phares Magesa akiwahutubia wanamichezo. Kulia anayechati na simu ni Mwenyekiti wa Namanga Sports Club, David Mwaka. |
![]() |
Sehemu ya wakimbiaji. |
![]() |
Wana-Namanga pia walishiriki harambee. |
![]() |
Makamu Mwenyekiti wa Namanga Sports Club, Uncle Ole (kulia) na Mweka Hazina, Mike Boss wakitafakali jambo wakati wa harambee hiyo. |
Wageni waalikwa kutoka Klabu ya Biafra Sports. |
Kabla ya mkutano kuanza wana-namanga walipasha kidogo ufukweni mwa bahari, wakioongozwa na Mtunza Hazina wa Klabu hiyo, Mike Boss (kulia). |
Mwenyekiti wa Klabu ya Namanga, David Mwaka (kulia) akijadiliana jambo na Mtunza Hazina wake, Mike Boss. Kushoto nyuma ni Mwanachama Muasisi wa Namanga Sports Club, Bipin Vishan. |
Mwenyekiti wa Klabu ya Namanga, David Mwaka akizungumza katika mkutano huo. Kulia kwake ni Katibu Mkuu wa Klabu, Mangole. |
Mwenyekiti wa Klabu ya Namanga, David Mwaka akimkabidhi cheti cha shukrani Mgeni Rasmi ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Clement Sanga, ambaye pia kampuni yake iliudhamini mkutano huo. |
Mwanachama wa namanga, Kessy Uchungu akipokea kinyago hicho kwa niaba ya kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd. |
Wageni waalikwa kutoka Temeke Sports Club. |
Mwanachama Bora wa Namanga Sports Club aliibuka kidedea John Gako na cheti chake kilipokelewa na mkewe kutokana na mwenyewe kuwa na udhuru. |
Mwananchama wa Namanga, Nunu Sagaf akitoa ufafanuzi kwa wanachama kuhusu uwekezaji wa vipande. |
Katibu Mkuu wa Biafra Sports Club, Yahaya Pori (kushoto), akifurahia jambo na Mwanachama wa Namanga, Mangushi 'Dalia'. |
Muda wa maakuli uliwadia. |
Mwenyekiti wa Namanga Sports Club, David Mwaka akiongoza kikao cha maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa Klabu, kilichofanyika Leecar's Pub Namanga jijini Dar es Salaam jana jioni. PICHA/JOHN BADI |